Podcasturi
Enjeux de société
Sweeping raids leave Turkey’s LGBTQI+ community fearing what comes next
9:59
Swahili (generic)
Podcasturi
2026
Kwa wavuvi katika ziwa Niavasha, kama vile Simon Macharia na Joseph Kimani, Magugu maji yamekuwa kero kwa muda mrefu, na wakati mwingine kuwasababishia hasara.
Lakini sasa kutokana na ubunifu wa Joseph Nguthiri, kijana bingwa wa dunia wa Mazingira wa UNEP mwaka wa 2025, na mwanzilishi wa kampuni ya Hyapak wavuvi wanaweza kujipatia kipato zaidi.
24 august 2026
Swahili (generic)
9 Mo